PROFESA NDALICHAKO AVUTIWA NA KITUO CHA MAFUNZO KWA VITENDO CHA KIKULETWA WILAYANI HAI

Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia,Profesa Joyce Ndalichako(kushoto) akifurahia madhari ya Chuo cha Ufundi Arusha(ATC),Kituo cha kuzalisha umeme cha Kikuletwa kilichopo wilayani Hai mkoa wa Kilimanjaro kinachotumika kwa mafunzo ya wanafunzi wanaosomea kozi ya Umeme,kulia ni Mkuu wa Chuo hicho,Dk Richard Masika.Picha kwa hisani ya ATC


Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia,Profesa Joyce
Ndalichako(kulia) akifurahia madhari ya Chuo cha Ufundi
Arusha(ATC),Kituo cha kuzalisha umeme cha Kikuletwa wilaya ya Hai mkoa wa Kilimanjaro kinachotumika kwa
mafunzo ya wanafunzi wanaosomea kozi ya Umeme,kulia ni Mkuu wa Chuo
hicho,Dk Richard Masika.

Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia,Profesa Joyce
Ndalichako(kulia) akipewa maelezo na Mkuu wa Chuo chaUfundi Arusha(ATC),Dk Richard Masika wakati ya ziara yake kwenye Kituo cha kuzalisha umeme cha Kikuletwa wilaya ya Hai mkoa wa Kilimanjaro kinachotumika kwa
mafunzo ya wanafunzi wanaosomea kozi ya Umeme,kushoto ni Naibu Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia,Mhandisi Stella Manyanya.

Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia,Profesa Joyce
Ndalichako(kushoto) akiangalia moja ya mitambo ya kuzalisha umeme kwa njia ya maji iliyokua ikitumika zaidi ya miaka 50 iliyopita,kulia ni Mkuu wa Chuo
hicho,Dk Richard Masika.



Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia,Profesa Joyce
Ndalichako akisisitiza jambo wakati akizungumza na jumuiya ya wana Chuo cha Ufundi
Arusha(ATC) kwenye Kituo cha kuzalisha umeme cha Kikuletwa wilaya ya Hai mkoa wa Kilimanjaro kinachotumika kwa
mafunzo ya wanafunzi wanaosomea kozi ya Umeme.